sw_tn/job/24/24.md

680 B

Sentensi unganishi

Ayubu anaendelea kuongea

watashushwa

"Mungu atawashusha" au "Mungu atawaharibu"

watakusanywa kama wengine wote

baadhi ya tafsiri zingine zinasema "watanyauka na kufifia kama magugu"

watakatwa kama masuke ya nafaka

KTN:"Mungu atawakata kama mkulima anavyokata masuke ya nafaka"

Kama ndivyo, je ni nani anaweza kuthibitisha kuwa mimi ni mwongo ; nani anaweza kufanya maneno yangu yasifae kitu?

Ayubu anatumia swali hili kuonyesha uzito wa hoja yake. KTN: "hii ni kweli, hakuna mtu anaweza kuthibitisha kuwa mimi ni mwongo; hakuna wa kuthibitisha kuwa mimi ni mkosaji"

kufanya maneno yangu yasifae kitu?

"kuthibitisha ninachosema ni makosa"