forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
453 B
Markdown
16 lines
453 B
Markdown
# Sentensi Unganishi
|
|
|
|
Ayubu anaendelea kuongea
|
|
|
|
# kwa nguvu zake
|
|
|
|
"kwa kutumia nguvu zake" au "kwasababu yeye ni mwenye nguvu"
|
|
|
|
# huinuka na wala hawatii nguvu katika maisha
|
|
|
|
"wala hawatii nguvu katika maisha"maana yake Mungu hawaachi hai. KTN: "Mungu huinuka na hawapi watu waovu nguvu za kuishi" au "Mungu huinuka na kuwasababisha wafe"
|
|
|
|
# bali macho yake yapo juu ya njia zao
|
|
|
|
hapa "macho" nirejea kwa Mungu. KTN: "lakini daima huangalia watendayo"
|