sw_tn/job/24/22.md

453 B

Sentensi Unganishi

Ayubu anaendelea kuongea

kwa nguvu zake

"kwa kutumia nguvu zake" au "kwasababu yeye ni mwenye nguvu"

huinuka na wala hawatii nguvu katika maisha

"wala hawatii nguvu katika maisha"maana yake Mungu hawaachi hai. KTN: "Mungu huinuka na hawapi watu waovu nguvu za kuishi" au "Mungu huinuka na kuwasababisha wafe"

bali macho yake yapo juu ya njia zao

hapa "macho" nirejea kwa Mungu. KTN: "lakini daima huangalia watendayo"