sw_tn/job/24/20.md

717 B

Sentensi Unganishi

Ayubu anaendelea kuongea

Tumbo

hii inarejea kwa mama. KTN: "mama"

minyoo itamla na kuona utamu

hii inamaana kuwa atakufa na minyoo itaula mwili wake. KTN: minyoo itafurahia kula mzoga wake" au "atakufa na mwili wake utaliwa na minyoo"

hatakumbukwa tena

" hakuna mtu atakayemkumbuka tena"

utavunjwa kama mti

" Mungu atawaharibu waovu kama mti"

mwovu huteketeza

sitiari hii inasisitiza jinsi mtu mwovu asivyofaa. KTN: "Kama mnyama mwitu anavyoua mawindo yake, ndivyo mtu mwovu huleta maumivu"

wanawake tasa ambao hawakuzaa watoto

watu wa wakati ule waliamini kuwa mtu ambaye hakuzaa watoto alikuwa amelaaniwa na Mungu. Hii inawakilisha wanawake wenye bahati mbaya kabisa.