forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
584 B
Markdown
32 lines
584 B
Markdown
# Sentensi unganishi
|
|
|
|
Ayubu anaendelea kuongea
|
|
|
|
# jicho la mzinzi
|
|
|
|
"jicho" linarejea binadamu kwa ujumla wake. KTN: "mzinzi"
|
|
|
|
# kwa giza gaza
|
|
|
|
"kwenye machweo"
|
|
|
|
# hakuna jicho litakaloniona
|
|
|
|
"jicho" hapa linarejea mwanadamu kwa ujumla wake.KTN: "hakuna mtu atakaye niona"
|
|
|
|
# watu waovu huchimba kwenye nyumba
|
|
|
|
wanachimba ili kuiba kwenye hizo nyumba .
|
|
|
|
# wao hujifungia wenyewe
|
|
|
|
"hujificha ndani"
|
|
|
|
# maana kwao wote, giza nene ni kama asubuhi
|
|
|
|
giza nene ni faraja kwa waovu kama mwanga wa asubuhi kwa watu wa kawaida.
|
|
|
|
# vitisho vya giza nene
|
|
|
|
"vitu vya kuogofya vinavyotokea usiku"
|