sw_tn/job/24/15.md

584 B

Sentensi unganishi

Ayubu anaendelea kuongea

jicho la mzinzi

"jicho" linarejea binadamu kwa ujumla wake. KTN: "mzinzi"

kwa giza gaza

"kwenye machweo"

hakuna jicho litakaloniona

"jicho" hapa linarejea mwanadamu kwa ujumla wake.KTN: "hakuna mtu atakaye niona"

watu waovu huchimba kwenye nyumba

wanachimba ili kuiba kwenye hizo nyumba .

wao hujifungia wenyewe

"hujificha ndani"

maana kwao wote, giza nene ni kama asubuhi

giza nene ni faraja kwa waovu kama mwanga wa asubuhi kwa watu wa kawaida.

vitisho vya giza nene

"vitu vya kuogofya vinavyotokea usiku"