forked from WA-Catalog/sw_tn
36 lines
989 B
Markdown
36 lines
989 B
Markdown
# Sentensi Unganishi
|
|
|
|
Ayubu anaendelea kuongea
|
|
|
|
# wamelowana kwa manyunyu ya milimani
|
|
|
|
" wanlowana wakati inaponyesha milimani"
|
|
|
|
# yatima kutoka kwenye maziwa ya mama zao
|
|
|
|
"maziwa" inarejea kwa mama. maana yake kuwa yatima hawa bado wadogo sana. KTN: " yatima wachanga kutoka kwenye mikono ya mama zao au vichanga wasio na baba kutoka kwa mama zao"
|
|
|
|
# yatima
|
|
|
|
hii inarejea kwa watoto ambao hawana wazazi. Hata hivyo hapa neno hili limetumika kumaanisha watoto ambao hawana mama wla baba.
|
|
|
|
# huchukua watoto kama dhamana kutoka kwa watu masikini
|
|
|
|
"huchukua watoto wa watu wa masikini ili kuhakikisha kuwa watu masikini watalipa pesa walizokopa"
|
|
|
|
# dhamana
|
|
|
|
mwazimishaji anachukua kitu kutoka kwa mwazimaji ili kuhakikisha kwamba atalipa tena.
|
|
|
|
# huzunguka
|
|
|
|
"kutembea huku na kule"
|
|
|
|
# uchi pasipo mavazi
|
|
|
|
"uchi pasipo mavazi" maana yake ni sawa na kuwa uchi.
|
|
|
|
# hubeba miganda ya nafaka ya wengine
|
|
|
|
hii inamaanisha wanfanya kazi kuzalisha chakula kwa wengine wala si kwa ajili yao wenyewe.
|