sw_tn/job/24/08.md

989 B

Sentensi Unganishi

Ayubu anaendelea kuongea

wamelowana kwa manyunyu ya milimani

" wanlowana wakati inaponyesha milimani"

yatima kutoka kwenye maziwa ya mama zao

"maziwa" inarejea kwa mama. maana yake kuwa yatima hawa bado wadogo sana. KTN: " yatima wachanga kutoka kwenye mikono ya mama zao au vichanga wasio na baba kutoka kwa mama zao"

yatima

hii inarejea kwa watoto ambao hawana wazazi. Hata hivyo hapa neno hili limetumika kumaanisha watoto ambao hawana mama wla baba.

huchukua watoto kama dhamana kutoka kwa watu masikini

"huchukua watoto wa watu wa masikini ili kuhakikisha kuwa watu masikini watalipa pesa walizokopa"

dhamana

mwazimishaji anachukua kitu kutoka kwa mwazimaji ili kuhakikisha kwamba atalipa tena.

huzunguka

"kutembea huku na kule"

uchi pasipo mavazi

"uchi pasipo mavazi" maana yake ni sawa na kuwa uchi.

hubeba miganda ya nafaka ya wengine

hii inamaanisha wanfanya kazi kuzalisha chakula kwa wengine wala si kwa ajili yao wenyewe.