sw_tn/job/24/02.md

719 B

Sentensi Unganishi

Ayubu anaendelea kuongea

alama za mipaka

haya ni mawe au vitu vingine kunyesha mpaka kati ya maeneo yanayomilikiwa na watu mbalimbali.

malisho

"konde la majani" au "viwanja vya kuchungia"

hutwaa

"wanaiba"

ambao hawana baba

"yatima" au "watoto ambao wazazi wao wamefariki"

huchua ng'ombe wa mjane kama rehani

"huchukua ng'ombe wa mjane ili kuwa hakikisho kwamba wajane watalipa pesa walizowakopesha

mjane

mwanamke ambaye amefiwa na mume wake.

dhamana

mwazimishaji alichukua kitu chochote kutoka mwazimaji ili kuhakikisha kuwa mwazimaji huyo atalipa.

nje ya njia yao

toka kwenye njia

watu masikini nchi waote hujificha

watu wengi masikini huwaogopa watu waovu.