forked from WA-Catalog/sw_tn
40 lines
719 B
Markdown
40 lines
719 B
Markdown
|
# Sentensi Unganishi
|
||
|
|
||
|
Ayubu anaendelea kuongea
|
||
|
|
||
|
# alama za mipaka
|
||
|
|
||
|
haya ni mawe au vitu vingine kunyesha mpaka kati ya maeneo yanayomilikiwa na watu mbalimbali.
|
||
|
|
||
|
# malisho
|
||
|
|
||
|
"konde la majani" au "viwanja vya kuchungia"
|
||
|
|
||
|
# hutwaa
|
||
|
|
||
|
"wanaiba"
|
||
|
|
||
|
# ambao hawana baba
|
||
|
|
||
|
"yatima" au "watoto ambao wazazi wao wamefariki"
|
||
|
|
||
|
# huchua ng'ombe wa mjane kama rehani
|
||
|
|
||
|
"huchukua ng'ombe wa mjane ili kuwa hakikisho kwamba wajane watalipa pesa walizowakopesha
|
||
|
|
||
|
# mjane
|
||
|
|
||
|
mwanamke ambaye amefiwa na mume wake.
|
||
|
|
||
|
# dhamana
|
||
|
|
||
|
mwazimishaji alichukua kitu chochote kutoka mwazimaji ili kuhakikisha kuwa mwazimaji huyo atalipa.
|
||
|
|
||
|
# nje ya njia yao
|
||
|
|
||
|
toka kwenye njia
|
||
|
|
||
|
# watu masikini nchi waote hujificha
|
||
|
|
||
|
watu wengi masikini huwaogopa watu waovu.
|