forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
535 B
Markdown
20 lines
535 B
Markdown
# Sentensi Unganishi
|
|
|
|
Ayubu anaendelea kuongea
|
|
|
|
# Lakini yeye ni wa namna ya pekee, ni nani awezaye kumgeuza?
|
|
|
|
Ayubu anatumia swali hili kusisitiza kuwa Mungu ni wa pekee. KTN: "Lakini hakuna mwingine kama yeye, na hakuna wa kubadilisha nia yake." au "lakini yeye peke yake ni Mungu, na hakuna anayeweza kumshawishi"
|
|
|
|
# Anachotaka, hukifanya
|
|
|
|
"anatimiza chochote anachotaka kufanya"
|
|
|
|
# yeye huzitimiza amri zake dhidi yangu
|
|
|
|
" ananitendea ambacho alisema angefanya"
|
|
|
|
# yapo mengi kama hayo
|
|
|
|
"anamipango yenye kufanana kwa ajili yangu"
|