sw_tn/job/23/13.md

535 B

Sentensi Unganishi

Ayubu anaendelea kuongea

Lakini yeye ni wa namna ya pekee, ni nani awezaye kumgeuza?

Ayubu anatumia swali hili kusisitiza kuwa Mungu ni wa pekee. KTN: "Lakini hakuna mwingine kama yeye, na hakuna wa kubadilisha nia yake." au "lakini yeye peke yake ni Mungu, na hakuna anayeweza kumshawishi"

Anachotaka, hukifanya

"anatimiza chochote anachotaka kufanya"

yeye huzitimiza amri zake dhidi yangu

" ananitendea ambacho alisema angefanya"

yapo mengi kama hayo

"anamipango yenye kufanana kwa ajili yangu"