sw_tn/job/23/10.md

991 B

Sentensi Unganishi

Ayubu anaendelea kuongea

anaijua njia ninayoiendea

KTN: "Mungu anajua ninachofanya"

nitatoka kama dhahabu

Ayubu anaamini kuwa jaribio litamthibitisha kuwa mkamilifu kama dhahabu iliyosafishwa. KTN: "ataona kuwa nipo mkamilifu kama dhahabu ambayo uchafu wake wote umechomwa"

Mguu wangu umeshikamana kwenye hatua zake

"mguu wangu" inarejea kwa Ayubu. KTN: '"Nimeifuata njia aliyonionyesha"

nimeitunza njia yake

utii wa Ayubu unazungumziwa kama kutembea katika njia ambayo Mungu amemwelekeza" KTN: "Nimefanya alichoniambia"

sikungeukia upande

"fuata kwa usahihi"

sikurudi nyuma kutoka kwenye

KTN: "nimetii alichoamuru"

ya midomo yake

tungo hii inarejea ujumbe ambao Mungu alisema.. KTN: "ambacho alisema"

Nimeyatunza kwenye moyo wangu

hapa "moyo wangu"inarejea kwenye utu wa ndani wa Ayubu. KTN: "nimetunza katika utu wangu wa ndani" au "daima nafikiria juu yake"

maneno ya kinywa chake

hii inarejea kauli ya Mungu. KTN: "alichosema"