forked from WA-Catalog/sw_tn
40 lines
991 B
Markdown
40 lines
991 B
Markdown
|
# Sentensi Unganishi
|
||
|
|
||
|
Ayubu anaendelea kuongea
|
||
|
|
||
|
# anaijua njia ninayoiendea
|
||
|
|
||
|
KTN: "Mungu anajua ninachofanya"
|
||
|
|
||
|
# nitatoka kama dhahabu
|
||
|
|
||
|
Ayubu anaamini kuwa jaribio litamthibitisha kuwa mkamilifu kama dhahabu iliyosafishwa. KTN: "ataona kuwa nipo mkamilifu kama dhahabu ambayo uchafu wake wote umechomwa"
|
||
|
|
||
|
# Mguu wangu umeshikamana kwenye hatua zake
|
||
|
|
||
|
"mguu wangu" inarejea kwa Ayubu. KTN: '"Nimeifuata njia aliyonionyesha"
|
||
|
|
||
|
# nimeitunza njia yake
|
||
|
|
||
|
utii wa Ayubu unazungumziwa kama kutembea katika njia ambayo Mungu amemwelekeza" KTN: "Nimefanya alichoniambia"
|
||
|
|
||
|
# sikungeukia upande
|
||
|
|
||
|
"fuata kwa usahihi"
|
||
|
|
||
|
# sikurudi nyuma kutoka kwenye
|
||
|
|
||
|
KTN: "nimetii alichoamuru"
|
||
|
|
||
|
# ya midomo yake
|
||
|
|
||
|
tungo hii inarejea ujumbe ambao Mungu alisema.. KTN: "ambacho alisema"
|
||
|
|
||
|
# Nimeyatunza kwenye moyo wangu
|
||
|
|
||
|
hapa "moyo wangu"inarejea kwenye utu wa ndani wa Ayubu. KTN: "nimetunza katika utu wangu wa ndani" au "daima nafikiria juu yake"
|
||
|
|
||
|
# maneno ya kinywa chake
|
||
|
|
||
|
hii inarejea kauli ya Mungu. KTN: "alichosema"
|