sw_tn/job/22/29.md

473 B

Sentensi Unganishi

Elifazi anaendelea kuongoa kwa Ayubu

mwenye macho ya kujishusha

macho ya kujishusha inarejea unyenyekevu. KTN: ' mtu mnyenyekevu"

mtu ambaye hana hatia

hata mtu ambaye si mwungwana

utaokolewa kupitia usafi wa mikono yako

maana yake "Mungu atakuokoa kwa sababu ya usafi wa mikono yako"

kupitia usafi wa mikono yako

"usafi" inamaana ya kutokuwa na hatia "mikono" inamaana ya matendo afanyayo mtu. KTN: " kwa sababu unatenda yaliyo haki"