forked from WA-Catalog/sw_tn
352 B
352 B
Sentensi Unganishi
Elifazi anaendelea kuongoa kwa Ayubu
utainua uso wako kwa Mungu
Maana yake kwamba Ayubu hataona aibu tena bali atamwani Mungu. KTN: " utaweza kumkabili kwa ujasiri"
itathibitishwa kwako
KTN: "Mungu atakufanya ufanikiwe"
mwanga utang'aa juu ya njia zako
KTN: "itakuwa kama mwanga unaong'aa kwenye barabara mbele yako"