sw_tn/job/22/26.md

352 B

Sentensi Unganishi

Elifazi anaendelea kuongoa kwa Ayubu

utainua uso wako kwa Mungu

Maana yake kwamba Ayubu hataona aibu tena bali atamwani Mungu. KTN: " utaweza kumkabili kwa ujasiri"

itathibitishwa kwako

KTN: "Mungu atakufanya ufanikiwe"

mwanga utang'aa juu ya njia zako

KTN: "itakuwa kama mwanga unaong'aa kwenye barabara mbele yako"