forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
352 B
Markdown
16 lines
352 B
Markdown
|
# Sentensi Unganishi
|
||
|
|
||
|
Elifazi anaendelea kuongoa kwa Ayubu
|
||
|
|
||
|
# utainua uso wako kwa Mungu
|
||
|
|
||
|
Maana yake kwamba Ayubu hataona aibu tena bali atamwani Mungu. KTN: " utaweza kumkabili kwa ujasiri"
|
||
|
|
||
|
# itathibitishwa kwako
|
||
|
|
||
|
KTN: "Mungu atakufanya ufanikiwe"
|
||
|
|
||
|
# mwanga utang'aa juu ya njia zako
|
||
|
|
||
|
KTN: "itakuwa kama mwanga unaong'aa kwenye barabara mbele yako"
|