forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
631 B
Markdown
20 lines
631 B
Markdown
# Sentensi Unganishi
|
|
|
|
Elifazi anaendelea kuongoa kwa Ayubu
|
|
|
|
# utaendeza njia ya zamani ambayo walitembea watu waovu.
|
|
|
|
Kutenda matendo mabaya kunazungumziwa kama kutembea kwenye njia. KTN: " utaendelea kufanya mambo wafanyayo watu waovu"
|
|
|
|
# wale ambao walinyakuliwa
|
|
|
|
"wale waliokufa" au wale ambao Mungu aliwaondoa"
|
|
|
|
# wale ambao misingi yao imetoweshwa kama mto
|
|
|
|
kifo cha watu waovu kinaongeleawa kana kwamba ni majengo yaliyokuwa na misingi yake ambayo ilikwishwa haribiwa na mafuriko.
|
|
|
|
# Mwenyezi anaweza kufanya nini
|
|
|
|
Elifazi ananukuu swali ambalo waovu hutumia kumdhihaki Mungu. KTN "Mwenyezi hawezi kufanya chochote kwetu!"
|