sw_tn/job/22/15.md

631 B

Sentensi Unganishi

Elifazi anaendelea kuongoa kwa Ayubu

utaendeza njia ya zamani ambayo walitembea watu waovu.

Kutenda matendo mabaya kunazungumziwa kama kutembea kwenye njia. KTN: " utaendelea kufanya mambo wafanyayo watu waovu"

wale ambao walinyakuliwa

"wale waliokufa" au wale ambao Mungu aliwaondoa"

wale ambao misingi yao imetoweshwa kama mto

kifo cha watu waovu kinaongeleawa kana kwamba ni majengo yaliyokuwa na misingi yake ambayo ilikwishwa haribiwa na mafuriko.

Mwenyezi anaweza kufanya nini

Elifazi ananukuu swali ambalo waovu hutumia kumdhihaki Mungu. KTN "Mwenyezi hawezi kufanya chochote kwetu!"