sw_tn/job/22/12.md

925 B

Sentensi Unganishi

Elifazi anaendelea kuongoa kwa Ayubu.

Je Mungu hayupo kwenye kimo cha mbingu?

Elifazi anatumia swali hili kudokeza kwamba Mungu anaiona dhambi ya Ayubu na atamuhukumu. KTN: " Mungu yupo katika vimo vya mbingu na anaona kila kitu kinachotokea duniani"

tazama kimo kwenye kima cha nyota , je zipo juu kiasi gani!

Elifazi amaanisha kuwa Mungu yupo juu kuliko nyota. KTN: Angalia jinsi nyota zilivyo juu . Mungu yupo juu kuliko hizo nyota"

Je Mungu anajua nini? je anaweza kuhukumu kwenye mawingu mazito?

Elifazi anatumia maswali haya kumaanisha kwamba Ayabu amasema mambo haya dhudi ya Mungu. KTN: " Mungu hajui kitu gani kinatokea duniani. anakaa kwenye wingu la giza na hawezi kutuhukumu sisi."

yeye hutembea kwenye kuba ya mbingu

Kuba inarejea kwenye mpaka ambao watu wa kale waliamini ulitenganusha dunia na mbingu. KTN "anaishi mbali sana kwenye mbingu kuona ni nini kinatokea hapa"