forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
483 B
Markdown
24 lines
483 B
Markdown
# Sentensi Unganishi
|
|
|
|
Elifazi anaendelea kuongoa kwa Ayubu.
|
|
|
|
# umewafukuza wajanae hali ya utupu
|
|
|
|
uliwafanya wajane waondoke bila kitu chochote
|
|
|
|
# Wajane
|
|
|
|
wanawakea ambao waume zao wamefariki
|
|
|
|
# mikono ya yatima imevunjika
|
|
|
|
hapa "mikono" inarejea nguvu. KTN: 'hata uliwakandamiza yatima"
|
|
|
|
# mitego imekuzunguka ...kuna giza ..kwenye maji mengi.
|
|
|
|
sitiari zote hizi maana yake kuna shuda na hatari kumzunguka Ayubu kwa sababu ya dhambi zake.
|
|
|
|
# kwenye maji mengi.
|
|
|
|
" kwenye mafuriko"
|