sw_tn/job/22/09.md

483 B

Sentensi Unganishi

Elifazi anaendelea kuongoa kwa Ayubu.

umewafukuza wajanae hali ya utupu

uliwafanya wajane waondoke bila kitu chochote

Wajane

wanawakea ambao waume zao wamefariki

mikono ya yatima imevunjika

hapa "mikono" inarejea nguvu. KTN: 'hata uliwakandamiza yatima"

mitego imekuzunguka ...kuna giza ..kwenye maji mengi.

sitiari zote hizi maana yake kuna shuda na hatari kumzunguka Ayubu kwa sababu ya dhambi zake.

kwenye maji mengi.

" kwenye mafuriko"