forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
568 B
Markdown
24 lines
568 B
Markdown
# Sentensi Unganishi
|
|
|
|
Elifazi anaendelea kuongoa kwa Ayubu.
|
|
|
|
# Umedai dhamana ya mkopo
|
|
|
|
Maana yake mkopeshaji anachukua kitu kutoka kwa mkopaji ili kuhakikisha kwamba mkopaji atalipa.
|
|
|
|
# umetwaa vazi kwa walio uchi
|
|
|
|
Elifazi anamshutumu Ayubu kuchukua nguo kutoka kwa watu masikini waliomkopa kama dhamana
|
|
|
|
# ulimnyima mkate
|
|
|
|
hapa "mkate" unawakilisha chakula kwa ujumla
|
|
|
|
# alimiliki nchi.. aliishi ndani yake
|
|
|
|
Elifazi anamshutumu Ayubu kuchukua eneo kutoka kwa watu masikini na wala hakuwaruhusu kuishi sehemu ile.
|
|
|
|
# alimiliki nchi
|
|
|
|
"alimiliki eneo kubwa la ardhi"
|