sw_tn/job/22/06.md

568 B

Sentensi Unganishi

Elifazi anaendelea kuongoa kwa Ayubu.

Umedai dhamana ya mkopo

Maana yake mkopeshaji anachukua kitu kutoka kwa mkopaji ili kuhakikisha kwamba mkopaji atalipa.

umetwaa vazi kwa walio uchi

Elifazi anamshutumu Ayubu kuchukua nguo kutoka kwa watu masikini waliomkopa kama dhamana

ulimnyima mkate

hapa "mkate" unawakilisha chakula kwa ujumla

alimiliki nchi.. aliishi ndani yake

Elifazi anamshutumu Ayubu kuchukua eneo kutoka kwa watu masikini na wala hakuwaruhusu kuishi sehemu ile.

alimiliki nchi

"alimiliki eneo kubwa la ardhi"