sw_tn/job/21/29.md

534 B

Setensi Unganishi

Ayubu anaendelea kuzungumza kwa rafiki zake.

Je hamjawaliza watu wasafirio? Je hamjui viashiria wavyoweza kuwaambia ... kwa siku ya ghadhabu?

Ayubu anawakemea rafiki zake kwa kutumia maswali haya kuwa hawajajifunza kwa watu wasafirio. KTN: "Ninyi mnapaswa kuwasikiliza wale waliosafiri hadi sehemu za mbali. watawaambia ... kwa siku ya ghadhabu."

mtu mwovu huindwa kwa siku ya msiba ... huongozwa kwa siku ya ghadhabu

virai hivi vina maana sawa: KTN: "Mungu humhifadhi mtu mwovu wakati anapoleta maafa"