forked from WA-Catalog/sw_tn
367 B
367 B
Sentensi unganishi
Ayubu anaendelea kuzungumza kwa rafiki zake.
Tazama
Ayubu anatumia neno hili kuleta usikivu kwenye maneno yanayofuata. KTN: " angalia "
Sasa nyumba ya mfalme ipo wapi? ipo wapi hema ambapo mtu mwovu aliishi hapo mwanzo?
Maswali yote hay yana maanisha jambo moja. KTN: "Tazama, nyumba ya mtawala mwovu haipo. Hema ya mtu mwovu imetoweka"