sw_tn/job/21/27.md

367 B

Sentensi unganishi

Ayubu anaendelea kuzungumza kwa rafiki zake.

Tazama

Ayubu anatumia neno hili kuleta usikivu kwenye maneno yanayofuata. KTN: " angalia "

Sasa nyumba ya mfalme ipo wapi? ipo wapi hema ambapo mtu mwovu aliishi hapo mwanzo?

Maswali yote hay yana maanisha jambo moja. KTN: "Tazama, nyumba ya mtawala mwovu haipo. Hema ya mtu mwovu imetoweka"