sw_tn/job/21/22.md

1.1 KiB

Sentensi Unganishi

Ayubu anaendelea kuzungumza kwa rafiki zake.

Mtu yeyote anaweza kumfundisha Mungu maarifa ikiwa yeye huwahukumu hata wale walio wakuu?

Ayubu anauliza swali kusisitiza kwamba Mungu anajua kila kitu. KTN: "Ni wazi, hakuna mtu anayeweza kumfundisha Mungu chochote kwani yeye huwahukumu hata wale walioko mbinguni."

walio wakuu

inaweza kumaanisha kuwa 1) "wale walioko mbinguni" au 2) "watu mashuhuri"

mtu mmoja hufa katika nguvu zake kamili.

Ayubu anamlinganisha mtu huyu afaye katika afya na amani na mtu afaye katika hudhuni na maumivu. KTN: "Kama kuma watu wawili, mmoja anaweza kufa katika nguvu zake kamili"

mwili wake umejaa maziwa

hii inamaana kwamba mtu yupo katika afya njema.

mwili wake umejaa maziwa... uboho wa mifupa yake umarainishwa na katika afya nzuri.

hii inamaana kwamba mtu yupo katika afya njema.

mwili wake umejaa maziwa

Neno "maziwa" linamaana ya "mnene" KTN: "mwili wake umejaa mafuta"

uboho wa mifupa yake umarainishwa na katika afya nzuri.

hii ni nahau ikimaanisha kuwa mwili wake una ujana na afya njema.