sw_tn/job/21/13.md

476 B

Sentensi unganishi

Ayubu anaendelea kuzungumza kwa rafiki zake.

siku zao

"muda wao wa kuishi"

Hushuka taratibu kwenda kuzimu

KT: "hufa kwa amani"

njia zako

inamaanisha jinsi Mungu anavotaka watu waenende.

Mwenyezi ni kitu gani, hata itupase kumwabudu? Ni faida gani tungepata kama tungemwomba?

watu waovu hutumia maswali haya katika kumdhihaki Mungu. KT: Hatuamini kwamba huyu Mungu Mwenyezi anastahili tumwabudu. Hawezi kufanya chochote kwa ajili yetu"