forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
476 B
Markdown
20 lines
476 B
Markdown
|
# Sentensi unganishi
|
||
|
|
||
|
Ayubu anaendelea kuzungumza kwa rafiki zake.
|
||
|
|
||
|
# siku zao
|
||
|
|
||
|
"muda wao wa kuishi"
|
||
|
|
||
|
# Hushuka taratibu kwenda kuzimu
|
||
|
|
||
|
KT: "hufa kwa amani"
|
||
|
|
||
|
# njia zako
|
||
|
|
||
|
inamaanisha jinsi Mungu anavotaka watu waenende.
|
||
|
|
||
|
# Mwenyezi ni kitu gani, hata itupase kumwabudu? Ni faida gani tungepata kama tungemwomba?
|
||
|
|
||
|
watu waovu hutumia maswali haya katika kumdhihaki Mungu. KT: Hatuamini kwamba huyu Mungu Mwenyezi anastahili tumwabudu. Hawezi kufanya chochote kwa ajili yetu"
|