sw_tn/job/21/04.md

659 B

Sentensi Unganishi.

Ayubu anaendelea kuzungumza kwa rafiki zake.

Je mimi, malalamiko yangu ni dhidi ya mtu? Kwa nini nisiwe mvumilivu?

Ayubu anatumia maswali kusisitiza kuwa ni hali ya kawaida kwake kumlalamikia Mungu.KT: "Simlalamikii mtu . ninahaki ya kutokuwa na uvumilivu"

weka mkono wako juu ya kinywa chako

"funika kinywa chako kwa mkono wako" Maneno haya yanaweza kumaanisha kwamba 1) huu ni mwitikio wa kuwa katika mshangao. KT: " funika kinywa chako kwa mkono wako" au 2) hiki ni kiashiria kuwa mtu hataongea . KT: "usiseme lolote"

mashaka yameushika mwili wangu

" hofu inasababisha mwili wangu kutetemeka" au "ninatetemeka kwa hofu"