forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
659 B
Markdown
16 lines
659 B
Markdown
|
# Sentensi Unganishi.
|
||
|
|
||
|
Ayubu anaendelea kuzungumza kwa rafiki zake.
|
||
|
|
||
|
# Je mimi, malalamiko yangu ni dhidi ya mtu? Kwa nini nisiwe mvumilivu?
|
||
|
|
||
|
Ayubu anatumia maswali kusisitiza kuwa ni hali ya kawaida kwake kumlalamikia Mungu.KT: "Simlalamikii mtu . ninahaki ya kutokuwa na uvumilivu"
|
||
|
|
||
|
# weka mkono wako juu ya kinywa chako
|
||
|
|
||
|
"funika kinywa chako kwa mkono wako" Maneno haya yanaweza kumaanisha kwamba 1) huu ni mwitikio wa kuwa katika mshangao. KT: " funika kinywa chako kwa mkono wako" au 2) hiki ni kiashiria kuwa mtu hataongea . KT: "usiseme lolote"
|
||
|
|
||
|
# mashaka yameushika mwili wangu
|
||
|
|
||
|
" hofu inasababisha mwili wangu kutetemeka" au "ninatetemeka kwa hofu"
|