forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
890 B
Markdown
20 lines
890 B
Markdown
# Giza lililo kamilika limetunzwa kwa akiba zake;
|
|
|
|
"Giza lililokamailika" ni tashbiha kuonyesha uharibifu. "Uharibifu umetunzwa kwa ajili ya akiba zake yeye"au"Akiba zake yeye mwenyewe zitaharibiwa"
|
|
|
|
# moto usiopulizwa utamla yeye
|
|
|
|
katika tungo hii neno "kumeza" ni tashbiha inayomaanisha kuharibu."mto ambao haukupulizwa utamharibu yeye"
|
|
|
|
# moto usiopulizwa utamla yeye
|
|
|
|
Tungo "haukupulizwa" inamaanisha kuwa kuwa hakuna mwanadamu ambaye atauwasha moto. Ni Mungu atauleta moto. "moto ambao haukuwashwa na mwanadamu utamharibu yeye"au" Mungu atauleta moto kumharibu yeye"
|
|
|
|
# utameza
|
|
|
|
Neno hili lemetafsiriwa hivi: "kumeza" ni tashbiha kumaanisha kuharibu."mto utaharibu"
|
|
|
|
# Mbingu...na nchi
|
|
|
|
Tungo hii inaweza kutafsiriwa hivi: Wale anaoishi katika mbingu na juu ya nchi, au Sofari anazielezea mbingu na nchi kana kwamba ni binadamu ambaye atashuhudia katika mahakama dhidi ya mtu mwovu.
|