sw_tn/job/20/26.md

890 B

Giza lililo kamilika limetunzwa kwa akiba zake;

"Giza lililokamailika" ni tashbiha kuonyesha uharibifu. "Uharibifu umetunzwa kwa ajili ya akiba zake yeye"au"Akiba zake yeye mwenyewe zitaharibiwa"

moto usiopulizwa utamla yeye

katika tungo hii neno "kumeza" ni tashbiha inayomaanisha kuharibu."mto ambao haukupulizwa utamharibu yeye"

moto usiopulizwa utamla yeye

Tungo "haukupulizwa" inamaanisha kuwa kuwa hakuna mwanadamu ambaye atauwasha moto. Ni Mungu atauleta moto. "moto ambao haukuwashwa na mwanadamu utamharibu yeye"au" Mungu atauleta moto kumharibu yeye"

utameza

Neno hili lemetafsiriwa hivi: "kumeza" ni tashbiha kumaanisha kuharibu."mto utaharibu"

Mbingu...na nchi

Tungo hii inaweza kutafsiriwa hivi: Wale anaoishi katika mbingu na juu ya nchi, au Sofari anazielezea mbingu na nchi kana kwamba ni binadamu ambaye atashuhudia katika mahakama dhidi ya mtu mwovu.