sw_tn/job/18/01.md

500 B

Habari za Jumla:

Tazama uandishi wa ushairi na mifano

Habari za Jumla:

Bildadi Mshunami anazungumza kwa Ayubu.

Ndipo Bildadi Mshuhi alijibu na kusema

"Bildadi" ni jina la mtu ambaye ni mmoja wa watu wa kabila la Shua.

Je, lini utaacha kusema kwako

Hili swali la kizushi lina maanisha kuwa Ayubu amekuwa akizungumza kwa muda mrefu. Swali hili la kejeli linaweza kuandikwa bila kutumia swali hivi: "Acha kuzungumza!"

Fikiri,

"Kuwa mwenye kufikiri"au" tafakari juu ya vitu hivi"