forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
500 B
Markdown
20 lines
500 B
Markdown
|
# Habari za Jumla:
|
||
|
|
||
|
Tazama uandishi wa ushairi na mifano
|
||
|
|
||
|
# Habari za Jumla:
|
||
|
|
||
|
Bildadi Mshunami anazungumza kwa Ayubu.
|
||
|
|
||
|
# Ndipo Bildadi Mshuhi alijibu na kusema
|
||
|
|
||
|
"Bildadi" ni jina la mtu ambaye ni mmoja wa watu wa kabila la Shua.
|
||
|
|
||
|
# Je, lini utaacha kusema kwako
|
||
|
|
||
|
Hili swali la kizushi lina maanisha kuwa Ayubu amekuwa akizungumza kwa muda mrefu. Swali hili la kejeli linaweza kuandikwa bila kutumia swali hivi: "Acha kuzungumza!"
|
||
|
|
||
|
# Fikiri,
|
||
|
|
||
|
"Kuwa mwenye kufikiri"au" tafakari juu ya vitu hivi"
|