forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
631 B
Markdown
24 lines
631 B
Markdown
# Habari za Jumla:
|
|
|
|
Ayubu anaendeleza kuzungumza.
|
|
|
|
# ataendelea katika njia yake;
|
|
|
|
Hii ni nahau. "ataendelea kuishi katika njia ya haki"
|
|
|
|
# yeye ambaye ana mikono iliyo safi
|
|
|
|
Sentensi hii inazunguza juu ya mtu kuwa asiye na hatia kama mikono iliyo safi. "yeye ambaye hutenda haki" au "yeye ambaye hana hatia"
|
|
|
|
# ataendelea kuwa mwenye nguvu zaidi na zaidi
|
|
|
|
Maneno haya hayamaanishi tu nguvu za kimwili lakini pia nguvu za utashi wa mtu na hisia.
|
|
|
|
# ninyi nyote
|
|
|
|
Ayubu anazungumza kwa Elifazi, Bildadi, na Sofari.
|
|
|
|
# njooni sasa
|
|
|
|
Ayubu anawakaribisha rafiki zake kuhojiana kile ambacho amekisema. "njoni sasa, mhojiane na mimi"
|