sw_tn/job/17/09.md

631 B

Habari za Jumla:

Ayubu anaendeleza kuzungumza.

ataendelea katika njia yake;

Hii ni nahau. "ataendelea kuishi katika njia ya haki"

yeye ambaye ana mikono iliyo safi

Sentensi hii inazunguza juu ya mtu kuwa asiye na hatia kama mikono iliyo safi. "yeye ambaye hutenda haki" au "yeye ambaye hana hatia"

ataendelea kuwa mwenye nguvu zaidi na zaidi

Maneno haya hayamaanishi tu nguvu za kimwili lakini pia nguvu za utashi wa mtu na hisia.

ninyi nyote

Ayubu anazungumza kwa Elifazi, Bildadi, na Sofari.

njooni sasa

Ayubu anawakaribisha rafiki zake kuhojiana kile ambacho amekisema. "njoni sasa, mhojiane na mimi"