sw_tn/job/15/25.md

392 B

yeye ameunyosha mkono wake dhidi ya Mungu

"yeye ameitikisa mikono yake dhidi ya Mungu." Hii ni ishara ya kukasirika.

hukimbia kwa Mungu

Sentensi hii inamhusu mtu mwovu anatenda kwa hila dhidi ya Mungu kama vile yeye alikuwa akikimbia kumkabili kumshambulia yeye" kumshambulia Mungu" au " kutenda kwa hila dhidi ya Mungu"

kwa vifundo vikubwa vya ngao.

kwa ngao yake yenye nguvu"