forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
697 B
Markdown
24 lines
697 B
Markdown
# ambao kwao pekee nchi walipewa,
|
|
|
|
"kwa hao ambao Mungu pekee aliwapa nchi"
|
|
|
|
# miongoni mwao hakuna mgeni aliyepita.
|
|
|
|
Hii inamaanisha kwamba hakuna mgeni aliyeishi kati yao, kwa uwazi ili kwamba wasiweze kuathiriwa na dini za kipagani. " hakuna mtu awaye yote kutoka katika nchi nyingine aliyekuja na kuwasababisha wao kufikiri vibaya juu ya Mungu"
|
|
|
|
# hupitia katika maumivu
|
|
|
|
"kuteseka kwa maumivu mengi." Hii yaweza kuwa mayteso ya mwili au kihisia"
|
|
|
|
# idadi ya miaka iliyowekwa juu
|
|
|
|
"miaka yote ambayo Mungu ameiweka juu"
|
|
|
|
# iliyowekwa juu
|
|
|
|
Hii ni nahau. "ambavyo vimeandaliwa" au "vile vilivyoweka maalumu"
|
|
|
|
# Sauti ya vitisho katika masikio yake;
|
|
|
|
"Yeye anasikia sauti za kuogofya siku zote"
|