sw_tn/job/15/19.md

697 B

ambao kwao pekee nchi walipewa,

"kwa hao ambao Mungu pekee aliwapa nchi"

miongoni mwao hakuna mgeni aliyepita.

Hii inamaanisha kwamba hakuna mgeni aliyeishi kati yao, kwa uwazi ili kwamba wasiweze kuathiriwa na dini za kipagani. " hakuna mtu awaye yote kutoka katika nchi nyingine aliyekuja na kuwasababisha wao kufikiri vibaya juu ya Mungu"

hupitia katika maumivu

"kuteseka kwa maumivu mengi." Hii yaweza kuwa mayteso ya mwili au kihisia"

idadi ya miaka iliyowekwa juu

"miaka yote ambayo Mungu ameiweka juu"

iliyowekwa juu

Hii ni nahau. "ambavyo vimeandaliwa" au "vile vilivyoweka maalumu"

Sauti ya vitisho katika masikio yake;

"Yeye anasikia sauti za kuogofya siku zote"