sw_tn/job/15/17.md

295 B

Mimi nitakuonyesha wewe;

Hii ni nahau. "Mimi nitakuleza wewe" au " Mimi ninaweka wazi kwako wewe"

Mimi nitakutangazia wewe

"Mimi ntatangaza"

mababu zao hawakuvificha.

Elifazi anasisitiza kuwa mababu zao kwa makusudi waliwafundisha vitu hivi. " mababu zao waliwafundisha wao waziwazi"