sw_tn/job/15/07.md

1.3 KiB

habari za Jumla

Kila mstari ni mfano ambao unabeba maswali mawili yenye kejeli .

Je, wewe ni mwanadamu wa kwanza ambaye aliyezaliwa?

Jibu dhahiri ni "hapana" Swali hili la kejeli linaweza kuwekwa katika hali isiyo ya kuuliza: Wewe siyo mtu wa kwanza aliyezaliwa"

Je, wewe ulizaliwa?

"Je, Mungu alikuleta"

Wewe ulikuwepo kabla ya vilima kuwepo?

Jibu sahihi ni "hapana" Hili ni swali la kejeli laweza kuwekawa hivi katika hali isiyo ya kuuliza: Wewe hujaletwa katika dunia kabla ya milima" au " Mungu hakukuleta wewe katika dunia kabla yeye hajaleta vilima katika dunia"

Wewe Umewahi kusikia maarifa ya siri ya Mungu?

Jibu dhahiri ni "hapana" Swali hili la kejeli laweza kuwekwa katika hali isiyo ya kuuliza hivi: "Wewe hujasikia siri za maarifa ya Mungu"

Je, wewe wajihesabia mwenye hekima wewe mwenyewe?

swali hili la kejeli linasisitiza kuwa yeye hawezi kujihesabia hekima yeye mwenyewe. "Wewe huwezi kujihesabia hekima wewe mwenyewe" au " Wewe siyo mtu pekee mwenye hekima"

Ni kitu gani unachokifahamu wewe ambacho sisi hatukijui?

Jibu sahihi ni "hakuna"Hakuna chochote ambacho unakijua ambacho sisi hatukijui" au "Kila kitu unachokifahamu, hata sisi tunakifahamu"

Ni kitu gani unachokifahamu wewe ambacho hakiko katika sisi?

"Kila kitu unachokifahamu , sisi pia tunakifahamu" au "Sisi tunakifahamu kila kitu unachokifahamu"