sw_tn/job/14/18.md

542 B

Habari za Jumla:

Habari za Jumla: Ayubu anaendelea kuzunguza kwa Mungu.

milima huanguka na kuwa si chochote;

"Kuwa si chochote" ni nahau ikimaanisha kuharibiwa kabisa. Tungo hii inafafanua juu ya neno "anguka" na kusisitiza uharibifu. "milima imetupiliwa mbali"

miamba huhamishwa kutoka mahali pake;

"miamba kuporomoka chini kutoka mahali pake"

Kama hivi, ninyi mnavyoharibu matumaini ya mwanadamu.

"mnaharibu tumaini la mwanadamu kama vile..mavumbi ya ardhi"

matumaini ya mwanadamu.

"vitu ambavyo mwanadamu anvitumainia"