forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
542 B
Markdown
20 lines
542 B
Markdown
|
# Habari za Jumla:
|
||
|
|
||
|
Habari za Jumla: Ayubu anaendelea kuzunguza kwa Mungu.
|
||
|
|
||
|
# milima huanguka na kuwa si chochote;
|
||
|
|
||
|
"Kuwa si chochote" ni nahau ikimaanisha kuharibiwa kabisa. Tungo hii inafafanua juu ya neno "anguka" na kusisitiza uharibifu. "milima imetupiliwa mbali"
|
||
|
|
||
|
# miamba huhamishwa kutoka mahali pake;
|
||
|
|
||
|
"miamba kuporomoka chini kutoka mahali pake"
|
||
|
|
||
|
# Kama hivi, ninyi mnavyoharibu matumaini ya mwanadamu.
|
||
|
|
||
|
"mnaharibu tumaini la mwanadamu kama vile..mavumbi ya ardhi"
|
||
|
|
||
|
# matumaini ya mwanadamu.
|
||
|
|
||
|
"vitu ambavyo mwanadamu anvitumainia"
|