forked from WA-Catalog/sw_tn
40 lines
1.4 KiB
Markdown
40 lines
1.4 KiB
Markdown
# Habari za Jumla:
|
|
|
|
Habari za Jumla: Ayubu anaendelea kuzungumza kwa Mungu.
|
|
|
|
# mimi ningekujibu
|
|
|
|
"Mimi ningeitikia kujibu"
|
|
|
|
# Wewe ungekuwa na shauku ya
|
|
|
|
Jina " shauku" linaweza kuelezwa pamoja na kitenzi "shauku" au "kutamani." Wewe ungekuwa na shauku" au " Wewe ungehitaji"
|
|
|
|
# ya kazi ya mikono yako.
|
|
|
|
Hapa mikono ya Mungu inamwakilisha yeye kufanya vitu. Ayubu anajisema mwenyewe kuwa kazi ya mikono ya Mungu. " kwa ajili yangu, ambaye umenitengeneza"
|
|
|
|
# hesabu...na kutunza
|
|
|
|
Vitenzi hivi viwili kwa pamoja vinaeleza tendo moja."Kwa umakini tunza kwa ajili ya"
|
|
|
|
# nyayo zangu;
|
|
|
|
Nyayo zinawakilisha maisha yake yeye au kile ambacho yeye anafanya."maisha yangu" au vitu ambavyo mimi huwa navifanya"
|
|
|
|
# Wewe usingejali kumbukumbu ya dhambi yangu...wewe ungeufunga
|
|
|
|
Mistari hii mitatu inaeleza wazo lilelile na imetumika pamoja kusisitiza ujasiri wake yeye, Mungu angemsamehe yeye.
|
|
|
|
# Wewe usingehifadhi mkoba wa dhambi yangu.
|
|
|
|
Kutunza mkoba wa dhambi ya Ayubu inawakilisha kufikiri juu ya dhambi yake. "wewe usingetazama dhambi yangu" au "wewe usingefikiri juu ya dhambi yangu"
|
|
|
|
# Uovu wangu ungetiwa muhuri katika mkoba;
|
|
|
|
Kuutia muhuri uovu katika mkoba inawakilisha kuuficha na kukataa kufikiri juu yake. " Wewe ungekataa kufikiri juu ya uovu wangu kama mtu ambaye huficha kitu fulani katika mkoba"
|
|
|
|
# wewe ungeufunika uovu wangu.
|
|
|
|
Kufunika uovu kwa kitu ili kwamba usiweze kuonekana ni kufikiri juu yake. "wewe ungeuficha uovu wangu" au " wewe ungeupuuza uovu wangu"
|