sw_tn/job/14/15.md

1.4 KiB

Habari za Jumla:

Habari za Jumla: Ayubu anaendelea kuzungumza kwa Mungu.

mimi ningekujibu

"Mimi ningeitikia kujibu"

Wewe ungekuwa na shauku ya

Jina " shauku" linaweza kuelezwa pamoja na kitenzi "shauku" au "kutamani." Wewe ungekuwa na shauku" au " Wewe ungehitaji"

ya kazi ya mikono yako.

Hapa mikono ya Mungu inamwakilisha yeye kufanya vitu. Ayubu anajisema mwenyewe kuwa kazi ya mikono ya Mungu. " kwa ajili yangu, ambaye umenitengeneza"

hesabu...na kutunza

Vitenzi hivi viwili kwa pamoja vinaeleza tendo moja."Kwa umakini tunza kwa ajili ya"

nyayo zangu;

Nyayo zinawakilisha maisha yake yeye au kile ambacho yeye anafanya."maisha yangu" au vitu ambavyo mimi huwa navifanya"

Wewe usingejali kumbukumbu ya dhambi yangu...wewe ungeufunga

Mistari hii mitatu inaeleza wazo lilelile na imetumika pamoja kusisitiza ujasiri wake yeye, Mungu angemsamehe yeye.

Wewe usingehifadhi mkoba wa dhambi yangu.

Kutunza mkoba wa dhambi ya Ayubu inawakilisha kufikiri juu ya dhambi yake. "wewe usingetazama dhambi yangu" au "wewe usingefikiri juu ya dhambi yangu"

Uovu wangu ungetiwa muhuri katika mkoba;

Kuutia muhuri uovu katika mkoba inawakilisha kuuficha na kukataa kufikiri juu yake. " Wewe ungekataa kufikiri juu ya uovu wangu kama mtu ambaye huficha kitu fulani katika mkoba"

wewe ungeufunika uovu wangu.

Kufunika uovu kwa kitu ili kwamba usiweze kuonekana ni kufikiri juu yake. "wewe ungeuficha uovu wangu" au " wewe ungeupuuza uovu wangu"