sw_tn/job/13/16.md

777 B

Hiki kitakuwa sababu ya kutohesabiwa hatia,

Kielezi cha jina "kutohesabia hatia" chaweza kuelezwa pamoja na kitenzi " kutohesabia hatia" "Hii ndiyo sababu Mungu hatanihesabia hatia mimi " au " Hii ni sababu ambayo Mungu atasema kwamba mimi sina hatia"

Mungu, sikiliza kwa makini

Ayubu anaanza kuelekeza hoja yake moja kwa moja kwa Mungu.

sikiliza kwa makini kuzungumza kwangu; ruhusu kutangaza kwangu kuje kwenye masikio yako.

Mistari hii miwili kimsingi inamaanisha kitu kilekile na kinatilia uzito wa ombi la Ayubu kwa Mungu kumsikiliza yeye.

ruhusu kutangaza kwangu kuje kwenye masikio yako.

Kielezi cha jina "tangazo" Chaweza kuelezwa pamoja na kitenzi "tangaza." Masikio yanawakilisha kusikiliza. "sikiliza kutangaza kwangu" au sikia kile ninachotangaza"