sw_tn/job/13/13.md

797 B

Shikilieni amani yenu

Hii ni nahau ionayomaanisha "Nyamaza" au Acha kuzungumza"

mniache peke yangu,

Hii ni nahau yenye maana ya "acheni kunivunja moyo mimi au " acheni kunizuia mimi"

acheni yaje yale yanayoweza kuja kwang

Vitu vinakuja juu ya mtu inawakilisha vitu vinavyotokea kwa mtu. Ni kuonyesha kinachoanza na "Acha" maana yake yeye hajali kile kinachoweza kutokea kwake. " Acheni chochote kinachoweza kutokea kwangu kitokee" au " Sijali kile ambacho kinaweza kutokea kwangu"

Nitaichukua nyama yangu mwenywewe katika meno yangu;

"Nyama" kuwakilisha maisha. "Meno" na "mikono" ni kiwakilishi cha udhibiti wake. Tungo hizi mbili pamoja zinasisitia kuwa Ayubu yuko tayari kuhatarisha maisha yake kwa kutetea hoja yake pamoja na Mungu. " Niko tayari kuyahatarisha maisha yangu"