forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
707 B
Markdown
20 lines
707 B
Markdown
# Sentensi Unganishi:
|
|
|
|
Sentensi unganishi: Ayubu anaendelea kuzungumza kwa rafiki zake.
|
|
|
|
# Tazama
|
|
|
|
"Kuwa msikivu" au "Sikiliza" "maneno haya yanakumbusha pale Ayubu anapowataka rafiki zake kusikiliza kwa makini"
|
|
|
|
# jicho langu limeyaona haya yote;
|
|
|
|
Ayubu anajisema yeye mwenyewe kama macho yake kwa kuwa ni macho yake ambayo yanaona vitu hivi. "Mimi nimeyaona haya yote"
|
|
|
|
# sikio langu limeyasikia na kuyaelewa hayo.
|
|
|
|
Ayubu anasema yeye mwenyewe kama sikio lake kwa kuwa kwa masikio yake yeye mwenyewe amesikia vitu hivi. "Mimi nimesikia na kuvielewa"
|
|
|
|
# Kile mnachokifahamu, ndicho hicho mimi pia ninachokifahamu;
|
|
|
|
Kile mnachokifahamu, Mimi pia ninakifahamu" au "Mimi ninafahamu mengi kama vile ninyi"
|