sw_tn/job/13/01.md

707 B

Sentensi Unganishi:

Sentensi unganishi: Ayubu anaendelea kuzungumza kwa rafiki zake.

Tazama

"Kuwa msikivu" au "Sikiliza" "maneno haya yanakumbusha pale Ayubu anapowataka rafiki zake kusikiliza kwa makini"

jicho langu limeyaona haya yote;

Ayubu anajisema yeye mwenyewe kama macho yake kwa kuwa ni macho yake ambayo yanaona vitu hivi. "Mimi nimeyaona haya yote"

sikio langu limeyasikia na kuyaelewa hayo.

Ayubu anasema yeye mwenyewe kama sikio lake kwa kuwa kwa masikio yake yeye mwenyewe amesikia vitu hivi. "Mimi nimesikia na kuvielewa"

Kile mnachokifahamu, ndicho hicho mimi pia ninachokifahamu;

Kile mnachokifahamu, Mimi pia ninakifahamu" au "Mimi ninafahamu mengi kama vile ninyi"